Jumamosi, 16 Machi 2013

KIKAO CHA LEO TAREHE 16/MARCH/2013

 Baadhi ya wanachama wakiwa wanawasubiri wanachama wengine wafike ili kikao kianze
hapo kuna jackson Mathew, John Nkungu, Joseph Massamu na Suzanna Kanju
 picha hii: Uhoto; Suzanna Kanju, Elton Mnunga, Jackson Mathew na Jihn Nkungu
 Kadri mudas ulivyoukuwa unakwenda ndivyo wajumbe walikuwa wanaongezeka
hawa ni :kushoto ni Nkole Rutengwe, Imani Kifukwe na John Nkungu wakiwa wasalimiana habari za siku nyingi
 KATIKATI NI" Said Jongo ndio amewasili katika kikao
Bado ni maongezi tu, kuhusu mambo mbalimbali kabla ya kikao

Maoni 1 :

  1. kiukweli inaleta raha kuona wanajamii moja tumekutana kwa mipango endelevu, muungano huu uwe wa kweli ili kusudi uwe na manufaa ya kweli kwetu

    JibuFuta