Ni Shirika lisilo la Kiserikali lililoanzishwa na Vijana waliohitimu Shule ya Msingi Mgulani mwaka 1999.
Jumanne, 5 Machi 2013
NINI KINAWAFANYA WANAFUNZI KUPOTEZA MWAMKO WA ELIMU?
Mwanafunzi anayeshindwa kuandika hata kidogo katika mtihani na anaamua kuchora picha zisizoelweka, tatizo ni nini hasa? hebu tupate maoni ya nini kifanyike kuinua ari ya vijana kupenda elimu?
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni