Alhamisi, 21 Machi 2013

Wanafunzi washinda danguroni Dar

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Majani ya Chai, Yasinta Assey akionyesha baadhi ya nguo na viatu vya wanafunzi vilivyokutwa katika eneo linalodaiwa kuwa danguro linalotumiwa na wanafunzi wa shule hiyo, jana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni