Ni Shirika lisilo la Kiserikali lililoanzishwa na Vijana waliohitimu Shule ya Msingi Mgulani mwaka 1999.
Jumanne, 5 Machi 2013
TUNAISAIDIAJE JAMII YETU KUTOKA KATIKA UMASKINI?
Wazazi wetu hususani wale wa vijijini wamekuwa na maisha duni ambayo hayatoi mwanga wa kesho yao inakuwaje, hali hii ya uduni ndiyo inayopelekea vijana wengi kukimbilia mijini wakidhani ndiko kwenye maisha rahisi lakini kumbe ni tofauti na uhalisia wake. Vijana wenzangu hebu tatafakari haya kwa kina na kwenda kuwatembelea vijana wenzetu wa vijini ambao kwa kiasi kikubwa wamekosa motisha ya maisha chanya. Tuwatembelee na kuwapa changamoto kuwa wao ndio tegemeo pekee la kuleta mabadiliko katika maeneo yao na pia kuwapa mbinu za kujiinua kimaisha.. Toa moani yao ni namna ya kuweza kuwafikia vijana wenzetu
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni