Ni Shirika lisilo la Kiserikali lililoanzishwa na Vijana waliohitimu Shule ya Msingi Mgulani mwaka 1999.
Jumatano, 6 Machi 2013
RAIS WA VENEZUELA AFARIKI DUNIA
Kwa ufupi
Amefariki akiwa na umri wa miaka 58, Makamu wa Rais
Nicola Maduro amethibitisha kutokea kwa msiba huo. Awali ilielezwa kuwa
Rais Chavez alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Kansa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni