Jumatano, 6 Machi 2013

RAIS WA VENEZUELA AFARIKI DUNIA

Kwa ufupi
Amefariki akiwa na umri wa miaka 58, Makamu wa Rais Nicola Maduro amethibitisha kutokea kwa msiba huo. Awali ilielezwa kuwa Rais Chavez alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Kansa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni