Jumatano, 6 Machi 2013

Mbatia ajitoa Tume ya kuchunguza kushuka elimu


Kwa ufupi
Mbatia ambaye ametajwa kuwa mmoja wa wajumbe wa tume hiyo yenye wajumbe 15, alisema kamwe hatoweza  kufanya kazi yake kwa uhuru kwa sababu  ni Mbunge wa kuteuliwa, kamati hiyo imeundwa na serikali hivyo lazima kutakuwa na mgongano wa maslahi.

Maoni 1 :