Ijumaa, 15 Machi 2013

MWENDELEZO WA MCHAKATO WILAYANI

 Picha hii ni eneo la Manispaa ya Temeke ambapo mcghakato wa Usajili umekuwa ukifanyika kwa siku kadhaa
 M/hazina akiwa ametoka wilayani kufuatilia masuala ya mchakato wa usajili.
M/hazina akiwa pamoja na Katibu katika kuhaikisha mambo yanaenda vizuri. wameutana hapo baada ya kuwa wamepitia maeneo mbalimbali ili kufanisha suala zima la usajili wa MGULANI 99 ORGANIZATION

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni