Jumanne, 12 Machi 2013

HII NI NYINGINE TENA YA 1999

Haya tena ndugu zangu na hebu tuwakumbuke na hawa wafuatao;

KUSHOTO KUELEKEA MSTARI WA NYUMA: Elton mnunga, Oscar Leonard, Mustafa Shaibu, Ahobokile Mwandiga, anayefuata jina limenitoka lakini alikuwa ni mtu wa vituko na komedi sana,kama utamkumbuka jina hebu niambie na mimi nimkumbuke, anayefuata ni David Kasanja, Said Adamu, Clarence John na nyuma yake pia nimemsahau dah sijui inakuwaje lakini ndo hivyo sababu ya muda ni mrefu umepita

MSTARI WA MBELE: Mathew Mgwabati, Abdul Sultan, Nelson Rwezaura na Imani Kifukwe

Picha hii pia ni baadaya mtihani wa darasa la saba mwaka 1999

Maoni 2 :

  1. Huyo uliyemsahau ambaye akitoka yeye ndio anafuata Ahobokile Mwandiga, huyo jamaa anaitwa Salehe Mustapha aka Must aka Chafaka.....
    alikuwa miongoni mwa ma best zangu

    JibuFuta
  2. Kutoka kushoto kwenda kulia huko nyuma, baada ya Mwandiga anayefuata bila shaka ni Hussein Yusuph....!!
    Mimi nimependa pozi la Mgwabati ......hahaha kama yupo kwenye Bustani vile!!!

    JibuFuta