Jumanne, 5 Machi 2013

TAZAMA WADOGO ZETU WANAVYOPATA TABU YA USAFIRI



Jamii yetu inapaswa kuangalia mambo kama haya ili kusaidia vijana kupata elimu bora, mazingira hatarisha kama haya yanapelekea wanafunzi kutoona umuhimu wa elimu na wengine hushindwa kufikia malengo au ndoto zao. Mazingira ya elimu yakiboreshwa hakuna atakaye iogopa elimu. Tuisaidie jamii katika kupambana 


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni