Jamii yetu inapaswa kuangalia mambo kama haya ili kusaidia vijana kupata elimu bora, mazingira hatarisha kama haya yanapelekea wanafunzi kutoona umuhimu wa elimu na wengine hushindwa kufikia malengo au ndoto zao. Mazingira ya elimu yakiboreshwa hakuna atakaye iogopa elimu. Tuisaidie jamii katika kupambana
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni