Kwa ufupi
Tafiti zabainisha shule nyingi nchini zina vyoo duni
sana ukilinganisha na mataifa mengine Afrika Mashariki. Wasomi wasema
vyoo visivyofaa huchangia maendeleo mabaya kwa watoto wa kike hasa
waliovunja ungo, kwa vile hushindwa kujisitiri vizuri wanapokuwa hedhi,
hivyo kusababisha baadhi yao kutokwenda shule.
Wanafunzi wa kike hulazimika kuomba huduma za kujisaidia kwenye vyoo vya karibu na shule, huko baadhi yao wanabakwa au kufanyiwa ukatili mwingine wowote
Wanafunzi wa kike hulazimika kuomba huduma za kujisaidia kwenye vyoo vya karibu na shule, huko baadhi yao wanabakwa au kufanyiwa ukatili mwingine wowote
Maoni haya yameondolewa na mwandishi.
JibuFutaDah hata vya mgulani vilikuwa na afadhali sana aiseee
JibuFutani kweli kaka maana ni aibu hii, pia naomba uwafahamishe wadau wengine jinsi ya kutuma maoni yao maana wengi huishia kuangalia na hawaoni sehemu yakutuma maoni yao
JibuFuta