Ni Shirika lisilo la Kiserikali lililoanzishwa na Vijana waliohitimu Shule ya Msingi Mgulani mwaka 1999.
Ijumaa, 19 Aprili 2013
Jumanne, 16 Aprili 2013
Ijumaa, 5 Aprili 2013
MATUKIO SIKU YA KIKAO CHA TAREHE 30/3/2013
Enzi za Abiko Hall, hapo tupo tunajaribu kukumbushia
Mgulani ilivyo hivi sasa: Darasa la Saba A na B yanaonekana, kushoto kwake ndiyo kuna Abiko Hall
Jumanne, 2 Aprili 2013
KIKAKO CHA TAREHE 30/3/2013
WALIOSHIRIKI NI HAO
Siku hii tulipata wajumbe wengi ambao walikuwa charming sana: nikianzia kushoto waliosimama nikwamba tuna : Zakayo Dominick, Andrew Mande , Shamira Shaibu, Suzanna Kanju, Mohamed Abdulrahman a.k.a Alra Ul Qaime, Lugano Nissa, Daniel Athony, Imani Kifukwe, John Nkungu, Abdul Sultan, Yahaya a.k.a Yaki Bozi na Nkole Rutengwe
Waliochuchumaa kuanzia kushoto ni: Joseph Massamu, Elias Mwanyika na Victor Akyoo Ngole
siku hiii ilikuwa ni siku nzuri kwa tuliokutana
Siku hii tulipata wajumbe wengi ambao walikuwa charming sana: nikianzia kushoto waliosimama nikwamba tuna : Zakayo Dominick, Andrew Mande , Shamira Shaibu, Suzanna Kanju, Mohamed Abdulrahman a.k.a Alra Ul Qaime, Lugano Nissa, Daniel Athony, Imani Kifukwe, John Nkungu, Abdul Sultan, Yahaya a.k.a Yaki Bozi na Nkole Rutengwe
Waliochuchumaa kuanzia kushoto ni: Joseph Massamu, Elias Mwanyika na Victor Akyoo Ngole
siku hiii ilikuwa ni siku nzuri kwa tuliokutana
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)