Jumanne, 16 Aprili 2013

mlipuko boston

mlipuko mkubwa umetokea Nchini Boston ambapo watu 170 wamejeruhiwa katika mlipuko huo

Ijumaa, 5 Aprili 2013

MATUKIO SIKU YA KIKAO CHA TAREHE 30/3/2013


Enzi za Abiko Hall, hapo tupo tunajaribu kukumbushia


Mgulani ilivyo hivi sasa: Darasa la Saba A na B yanaonekana, kushoto kwake ndiyo  kuna Abiko Hall



 

Jumanne, 2 Aprili 2013

KIKAKO CHA TAREHE 30/3/2013

WALIOSHIRIKI NI HAO

Siku hii tulipata wajumbe wengi ambao walikuwa charming sana: nikianzia kushoto waliosimama nikwamba tuna : Zakayo Dominick, Andrew Mande , Shamira Shaibu, Suzanna Kanju, Mohamed Abdulrahman a.k.a Alra Ul Qaime, Lugano Nissa, Daniel Athony, Imani Kifukwe, John Nkungu, Abdul Sultan, Yahaya a.k.a Yaki Bozi na Nkole Rutengwe

Waliochuchumaa kuanzia kushoto ni: Joseph Massamu, Elias Mwanyika na Victor Akyoo Ngole
siku hiii ilikuwa ni siku nzuri kwa tuliokutana